Baada ya Yanga Kuichapa TP Mazembe, Simba Leo Kibaruani Tunisia

Baada ya Yanga Kuichapa TP Mazembe, Simba Leo Kibaruani Tunisia


Simba inakutana na Sfaxien, timu ambayo haijashinda mechi yoyote katika kundi hilo baada ya kupoteza michezo mitatu ikishika mkia bila pointi yoyote. Kucheza mechi ya leo bila ya mashabiki inaweza kuwa nafuu kwa Simba katika kuifukuzia rekodi yao ya kucheza robo fainali kwa mara ya sita katika kipindi cha misimu saba kuanzia 2018/19. Kila la kheri Wenyenchi Simba



from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/NSWPH1j
via IFTTT

Post a Comment

Previous Post Next Post