Azam Imechapika Kirumba Pamba Ikiokota Milion 15

Azam Imechapika Kirumba Pamba Ikiokota Milion 15

Azam Imechapika Kirumba Pamba Ikiokota Milion 15

Azam imepoteza mechi kihalali kabisa mbele ya Pamba leo,Na Pamba ilihitaji kuondoka na alama zote tatu mbele ya Azam leo.

Pamba imefika mara nyingi zaidi kwenye lango la klabu ya Azam na walikuwa wanaonyesha namna ambavyo wanaitaka hii mechi.Pengine ahadi za mkuu wa mkoa walikuwa wanaihitaji zaidi.

Pamba imekuwa hatari zaidi kwenye dimba lao la nyumbani.Kama wakiwa hivi basi wanaweza kufanya maajabu zaidi kwenye mzunguko huu wa pili

FT: PAMBA 1-0 AZAM FC



from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/XzNdEOC
via IFTTT

Post a Comment

Previous Post Next Post