Fei Toto amekataa ofa mpya ya mkataba wa miaka miwili na AZAM FC ambayo inajumuisha ada ya kusaini ya $320,000 ambazo ni sawa na Tsh. 822,376,640 na mshahara wa kila mwezi wa $12,000 sawa na milioni 30,839,124 za kitanzania .
Huenda Kuna Offer Kubwa zaidi ipo mezani kwake na Hajatuambia....
from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/PJ3es1O
via IFTTT